Ramani ya Kiswahili
Sinopsis
Ramani ya Kiswahili ni kitabu ambacho kina uwezo wa kusaidia walimu na wanafunzi wakati wanafanya marudio yao. Kitabu chenyewe kimegawanyika katika sura kumi na moja. Baadhi ya sura hizo zinahusiana na lugha, ngeli za maneno, sauti, silabi, vitate, visawe, vitawe, aina za maneno, shamirisho, chagizo, kijalizo, uchanguzi wa sentensi, aina za sentensi, viambishi na viungo vingine vya sarufi. Baada ya kila sura, kuna maswali ya kukusaidia wakati wa kudurusu.
Léelo en cualquier dispositivo
Ficha Técnica
Editorial: Kelvin Munene
ISBN: 9798215647455
Fecha de lanzamiento: 25/10/2022
Especificaciones del producto
Reseñas sobre Ramani ya Kiswahili
Comparte tu experiencia con la comunidad lectora.
0 Reseñas
Sólo por opinar entras en el sorteo mensual de tres tarjetas regalo valoradas en
20€
*Descuento de 15 euros en el eReader Vivlio Light Zen, válido para pedidos realizados en casadellibro.com del 13 de julio al 2 de agosto y solo para los 300 primeros compradores, hasta fin de existencias.